Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa ...
Muda mfupi baada ya kocha Sead Ramovic kubwaga manyanga, Yanga leo, Februari 4, 2025 imetangaza kumchukua kocha wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud kuziba pengo lililoachwa na Mjerumani huyo.
Mume wa mwalimu mstaafu aliyefariki dunia kwenye ajali ya gari amesimulia jinsi mkewe, Apaikunda Ayo (61), alivyojipanga ...
Oktoba, mwaka huu, CCM kitashiriki uchaguzi wa saba wa vyama vingi, huku kikitarajiwa kuibuka na ushindi kutokana na sababu ...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi imesema kiwango kikubwa cha utekelezaji wa afua za VVU na Ukimwi ...
Kutoka Februari 5, 1977, CCM ilipozaliwa baada ya kuunganisha vyama vya Tanu na ASP hadi Februari 5, 2025, ni miaka 48 ...
Hivyo, CCM kikazaliwa Februari 5, 1977 na makao makuu yake yako Dodoma. Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar iko Unguja na kuna Ofisi ...
Baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji wa Handeni, mkoani Tanga limeazimia na kumuagiza mkurugenzi wa halmashauri hiyo ...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuchagua watu ...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokewa na wakazi wa Dodoma baada ya kutunukiwa tuzo ya Gates Goalkeeper huku akisema tuzo hiyo ni ya wahudumu wa sekta ya afya na Watanzania wote.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuchagua watu ...